Lot#3 diploma holders wengi wamelamba mkopoo kwenye 82%...92%....hizo % haziwekwa unaconvert mwenyew.
Tena hawakujali umechagua fuculty gani, hadi wa BBA wamewazdi wa education mkopoo.
Kweli hapo sereeema Magufulii, ila tunaomba ambao wana sifa na hawakupata nao wapatiwe njia mbadala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.