Nikwel haifai kudhihaki imani ya mtu,,sisi ktk imani yetu tunahusiwa sana kuongea jambo ambalo una elimu nalo, kama jambo hauna elimu nalo bc tunakemewa vikali sana kutolizungumzia, sina tatzo na hoja yko,, kama uyo muimbaji amekosea lzma akemewe,.nlichojarb kukukumbsha tu kuhusu msikti, maana...
Katika kila komenti yako unapoutaja Msikiti na waislamu naona huwa unapotosha mfano wko na wala huwa hauendan, msiktin km hujui hakuna hayo huyasemayo, eti bakora? How comes,? Pambana tu na hallelujah yako acha kuutaja Msikiti ktk mazingira yafujo kana kwmba unaitaja guantanamo, msiktin ni...
Mungu akuongoze,,ayo ni maamuz mazur sana...hakksha kila ukfkia hali yakutaka kuikarbia tena chaputa bc ifkrie hii ahadi yko,,husikubali kuivunja kiwpesi...ameen..maisha bila chaputa,porn ynawezekana. nakutakia mafanikio mema ktk hii vita...
Bachelor of ed in Commerce n Accountancy(mwlm wa Book keeping n commerce) ,graduater frm Mzumbe University main campus ,yn huyu hpa kiukwel mtafuten kwa mnayehitaji walim wa masomo ya biashara,0629561889.
Huu uzi type nyng za ngiri zimeongelewa
(still zinaongelewa)lkn hii kitu "EPIGASTRIC HERNIA" Sijaona izungumziwe kabisa au hii iko vp wataalamu,ebu igusieni nayo kwa faida ya wengne,!!
Iyo dawa ya kihaya inaitwa MUSHANA,ipo ktk maduka ya dawa za asili kiukwel inasifika sana japo cjawahi itumia lkn nmepata cfa zake, me natumia mchanganyiko huu hapa :<br />_Chukua majan fulani yanaitw mchai chai ykujaa vganja viwil,limao 1 lilokomaa likate vipande vinne bila kulimenya wala...
Iyo dawa ya kihaya inaitwa MUSHANA,ipo ktk maduka ya dawa za asili kiukwel inasifika sana japo cjawahi itumia lkn nmepata cfa zake, me natumia mchanganyiko huu hapa :
_Chukua majan fulani yanaitw mchai chai ykujaa vganja viwil,limao 1 lilokomaa likate vipande vinne bila kulimenya wala kulkamua...
Hahaha dah hii ishu Ngumu sana,kuna wale punyeto addicted hii mbaya sana, lkn kuna wale wanaoipga kabla real mechi ili kupunguza mzuka wa goli la kwnz hufanikiwa Kuwasaidia kukawia kufk kilelen ,
lkn kiukwel tusipotoshane huu mchezo ni mbaya n unahitaji kupgwa vita sana..
#Stop...
Hahahhaaa hii huku Rwama tunaiita Bunga!dah hii ishazoeleka ila co nzuri kiafya ya nguvu za kiume, , kwan inaumaliza ule uwezo wa kawaida,mwsho wa cku bila bunga huwez kulast long kbsa,! Simshahur mtu kuijarb japo nishawahi ijaribu n ninayo,,for emergency use!!!!
Ifke wkt penye ukweli bc usemwe ukweli, cha ajabu tukisema ukweli kuh kanisa let takatifu la katoriki watu hawatak kuukubali, mweny macho aone na mweny masikio asikie, tuache unafk,
Ukitaka kiki bc tetea upupu wa fisiem, kuna watu wanajarbu kutetea tukio la Makonda kizembe sana,,wtakupa hoja kibao kuh lile tukio, lkn waulze je kwnn mwenyew mkuu wa mkoa haongei!? Mbona ishu ya madaw kaongea hadharani n kataja watu wkawasil kuhojiwa!? Why yy kawa bubu!? Huyu anatumwa sio bure!
Si ndo hapo, huyu jamaa kashakua muoga,, tena uoga wa Hali ya juu *****, ongea kiharakat, HAYA mahubir kina Gwajima wpo na wanaeleweka, kashakuwa mwanaharakati bubu, huruma sana, Kwel jela noma hata shehe ponda hasikiki ck hz!shame on Lema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.