BW Hamis Chagonja.
Zaidi ya wanafunzi 52,000 wa mwaka wa kwanza watanufaika na mkopo wa elimu ya juu baada ya serikali kuongeza kiasi cha fedha sh 132 bilioni kwaajili ya kugharamia masomo yao ya mwaka wa masomo 2015/2016.
Akizungumza na gazeti la MWANANCHI, kaimu mkurugenzi mtendaji wa bodi...
Ujerumani imeipatia Tanzania ndege mbili kwa ajili za kufanyia doria katika mbuga zetu ili kukabiliana na ujangili, ndege zitapitia nchini Kenya na kisha kuja Tanzania.
Hayo yamesemwa na waziri wa ujerumani alipofanya ziara yake Tanzania katika mji wa Arusha.
Chanzo: Radio One Stereo
Wakuu, naomba kuwauliza kama kuna mwenye uwelewa juu ya uhusiano wa wanafunzi wa shule hasa sekondari, mfano: kuvaa MODO, MILEGEZO kunachangia vipi kufeli kwao?
Na wanafunzi kuvaa sare za shule kwa heshima, mfano: kutokuvaa MILEGEZO,MODO n.k kuna changia vipi kufaulu kwao katika masomo...
Wakuu, naomaba kujua toka kwenu! Tunapata matangazo ya moja kwa moja yanayotoka ughaibuni ktk lugha yetu pendwa ya KISWAHILI kupitia idhaa mbali mbali kama vile:
Shirika la utangazaji BBC London Idhaa ya Kiswahili Dewtsche Welle(DW Kiswahili) Born Radio France international (RFE...
Kampuni ya Golden Fleet LTD na Golden Coach LTD Wakabidi magodoro 30 na vitanda 30 Muhimbili Leo.
Mkurugenzi mtendaji wa kampunu hizo Bw.Mohammed Raza Dewj (kulia) akimkabidhi Afisa uuguzi wa idara ya uuguzi na Ubora wa Taifa muhimbili Bi.Mariana Makanda(kushoto).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.