Habari wana JF,
Naomba kujua kama kuna ukweli kuhusu jamii ya miti inayo pendelewa kupandwa kwa ajili ya kivuli ambayo matawi hukua kwa ngazi siifahamu jina ila naijua kwa jina maarufu mingazi. Kuna tetesi kuwa hii miti haifai kupandwa hasa maeneo ya nyumbani kwa sababu za kiimani, je wa kuu...
Habari za majukumu wana Jf ,nina laptop ambayo ina sehemu ya kuweka lain ya simu nimejaribu kuweka lakin sijaona iki fanya kazi. Naomba kujua kama inaweza kufanya kazi.
Ninauza fujitsu laptop AH531 Lifebook Windows 10
-Processor: Intel(R) Core(TM) i5-2410M CPU @ 2.30GHz
-RAM; 4.00GB
-Dsck; 500GB
-System type; 32-bit Operating System x64-based processor
Ipo katika hali nzuri pamoja na charger yake ,bei ni Tsh 650,000/=
una weza pia ku google kuangalia sifa na...
Habari za majukumu wana Jf!
Mimi naomba kujua kama kuna tatizo la kuishi karibu na wakwe wa mke sababu mimi bado sijaoa hukunilipo sio mwenjeji. Katika harakati za maisha nimejipiga piga nikajijengea ka nyumba kangu lakini nimejikuta kupenda msichana mmoja karibu na kibanda changu hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.