Bado una majitu sijui yakoje hv bado kuna waswas ktk hili,Ongeza kas Pombe maana Majiz yamezid kuliko unavyofikili.Hoja hapa tunaomba mahakama fanyan kwel ktk Mafisadi hawa wasipewe tena nafas mara wafagie hospital,wafyeke (nn peleka mahakan wafungen hao ilifedha yao ya uwiz wasipate itumia...
Mhemiwa Rais fanya uwezavyo tupate katiba mpya,right aliokuwa anafanya hayati Molinge yangekuwa katika format leo ungefanya kuyaendeleza tuu,Mungu ibariki Tanzania.
Nashukuru JPM kwa kaz,nchi hii ni ngumu is like uwiz upo kwenye katiba ya nchi,rai yangu mhemiwa Pombe na katiba ya warioba ili hayo unayoyatenda yawe kwenye format.Ahsante Pombe
Tafadhar waendelee kukamatwa wote wanaoficha sukar hili siyo shamba la bibi,kama kuna shida warudi mezani kwann wanataka faida zaidi kwa mda mfupi(utaratibu wa kishetan huo)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.