Wakuu,
Kuna jamaa angu alimtokea dada mmoja kitaani kwetu toka mwezi wa saba. Kamfatilia wee eti leo ndio kamwambia atampa jibu tar 24 mwezi huu.
Je ni haki kweli kumtesa mwenzio miezi yote hiyo? Nawauliza nyie kina dada, kuweni na huruma jamani Ebro.!
Kama tuonavyo bidhaa zimekuwa bei juu kila siku zinavyosonga mbele, pamoja na kuona kumbe kuna wafanyabiashara wanakwepa kulipa kodi. Hali itakuwaje endapo wataanza kulipa kodi ipasavyo?
Kwa upande wa serikali itaongeza mapato kwa kiasi kikubwa, vipi kwa wananchi hii haiwezi kupelekea bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.