Mtu ukianza umalaya na kuchepuka kuacha inakuaga ngumu sana wake zetu watuvumilie tu
Mi hapa nimepata kitoto kidogo ndio kimemaliza form six mwaka huu ni mtoto wa mjeda hili ni janga naona kipigo kinanukia kwangu
Mkuu kama ndio mara ya kwanza ni nzuri kwako utapata uzoefu moyo wako utakuwa strong sasa Kwny mambo ya mapenz na baadae utajilaum sana kwann uliteseka juu yake mda ukishafika trust me kila me au ke ishamtokea hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.