Mkasome kwanza sheria ya utumishi wa umma ya 2003 na kanuni zake pamoja na kanuni za kudumu za utumishi wa umma (standing orders) ya 2009. Ndo mje tujadili huu uzi. Lakini kwa ufupi ni kwamba kuna dirisha huwa wazi kama kuna nafasi ya kisiasa inayogombewa ili kupisha watumishi wa umma kushiriki...
Mawio ni gazeti la wasomaji wavivu wasioweza kufikiri kwa upeo mpana! Nilikuwa mpenzi msomaji wa Mwanahalisi na hatimaye Mawio lakini kwasasa nayaona kama magazeti ya kugandisha ubongo na ni uchafu kwa mazingira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.