Search results

  1. kyle2810

    Natafuata kazi ya Mifugo au Kilimo

    Naitwa Emmanuel Harold nipo Morogoro, Nina Diploma ya Animal.Health, Pia nina Degree ya Agriculture Extension. Ninatafuta ajira popote pale. Maana maisha yamebana na ajira imekua changamoto kwa sasa. Popote pale nipo Tayar kufanya kazi.
  2. kyle2810

    Natafuta ajira ya mifugo either ranch au dukani

    Naitwa Emmanuel Harold, ni muhitimu wa masomo ya mifugo na uzalishaji, nimemaliza mwaka 2016 katika chuo cha lita morogoro, nikafanikiwa kupata Diploma ya animal health and production, na kufanikiwa kufanya kozi ya mafunzo pia katika ranch ya kongwa na wilaya ya kilosa, Ombi langu ni kupata...
Back
Top Bottom