Nasikitika kwamba hawa "TIGO" wanao zurura kwenye pikipiki haswa "uhindini" wanantutesa sana...wanatusimamisha na ku uliza maswala na pia wanatu kajeli wahindi...ni kitu kibaya ninawyo fikiria mimi..."Blackmailing tactics". Je kazi yao ni kulinda raia au kuwasumbuwa? haswa wahindi wanatafutwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.