Inaumiza kuyaona na kuyasikia mambo yafuatayo yakifanywa na wanaume wa kizazi cha sasa hivi, ni aibu na hayafai kabisa katika jamii zetu.
1 .Kushindwa kutunza siri,Kila mwanadamu ana matatizo na mapungufu yake ambayo kwa kiasi kikubwa hutakiwa kuyatatua kwa kina na umakini mkubwa,Lakini katika...
Mke wangu mtarajiwa,najua uko sehemu salama ukivuta muda na jamaa mwingine kabla hatujaoana. Lakini kabla sijakuweka ndani Ninayo machache ya kukueleza..
1. My future wife, Jiandae kuwa mother material wala sio mom material.. usipaniki ntakuelewesha nachomaanisha, Mke wangu mpendwa mmeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.