Lakini star tv wamezidi halafu mara nyingi tatizo hilo linapotokea hawajali wanaendelea na kipindi kana kwamba hakuna tatizo lolote. Bora wengine tatizo likitokea wanawahi kuweka matangazo na kurekebisha. Sijui kama kuna mtangazaji wa star tv ambaye hajawahi kututangazia hewa. Wote kuanzia jacob...
Kama ni hivyo basi wanafunzi hawajamng'oa bali mkataba wake umemalizika suala la kutaka ku renew hatulijui tunajua mkataba wake umeisha juzi tarehe 2/2/2011 kama angeondoka kabla ya mkataba kuisha tungesema kweli ameng'olewa.
Mbona nyingi tu ambazo sio za siasa zinawekwa kwenye jukwaa la siasa? Ukweli ni kwamba jukwaa la siasa lina wapenzi wengi sana kuliko majukwaa mengine.
Kinachosikitisha zaidi sio kukatika kwa sauti bali ni pale sauti inapokata hala jamaa wanaendelea kutuachi picha zisizokua na sauti kwa muda mrefu tu na mafundi wanatulia tu.
Madai ya ongezeko la pesa za kujikimu sio ya udsm peke yake bali ni vyuo vyote vya umma na vya binafsi. Nadhani ingekua jambo la msingi sana kama DARUSO wangewashirikisha viongozi wa vyuo vingine ili ku organize a nationalwide move hii ingekua bora zaidi otherwise itaku rahisi kwa serikali ku...
TBC nao wakati mwingine wanakosa habari za kutuonesha. Mtu 1 anapopata div 1 halafu hakuna div 2 unategemea nini? Tbc wanajaribu kutuonesha kwamba serikali ya ccm haikukose ilipoamua kuanzisha shule za kata bila kufanya maandalizi. Shule za kata bado ni tatizo ndio maana hata wazito hawapeleki...
Thursday, February 03, 2011
Wana jamvi napenda kutumia muda huu kuelezea masikitiko yangu kuhusiana na suala la tatizo la sauti ambalo sasa linaelekea kuota mizizi na kua kero kwa watazamaji wake wanaofuatilia vipindi mbalimbali hasa vipindi vya tuongee asubuhi na taarifa za habari.
Kitu...
Thursday, February 03, 2011
Wana jamvi napenda kutumia muda huu kuelezea masikitiko yangu kuhusiana na suala la tatizo la sauti ambalo sasa linaelekea kuota mizizi na kua kero kwa watazamaji wake wanaofuatilia vipindi mbalimbali hasa vipindi vya tuongee asubuhi na taarifa za habari.
Kitu...
Ukweli ni kwamba mtatiro kapotea njia. Kama angesoma alama za nyakati mapema sasa angekua ameshikilia jimbo lake akisubiri kuingia bungeni mwezi huu maana upepo wa chadema mwaka huu haukua wa kubahatisha.
Wanachuo wana haki ya kuandamana na kudai ongezeko la pesa ya kujikimu kutokana na kupanda kwa garama za maisha zinazoongezeka kila siku. Kiasi cha sh. 5000 kwa siku kilianza kulipwa mwaka 2007 na leo miaka 4 imepita. Ukijaribu kuangalia ongezeko la bei ya bidhaa mbalimbali utagundua kwamba ile...
Hata kama ni kazi yao wanastahili pongezh. Mtuyoyote anapofanya au kutimiza wajibu wake vizuri anapongezwa, ndio maana hata maofisini kuna zawadi na tuzo ya mfanyakazi bora. WAO wanatimiza wajibu wao vizuri hivyo wanastahili PONGEZI. Na wale wasiotimiza majukumu yao vizuri tunawapa vidonge vyao...
Kama ni hivyo basi watu wanaoweka post humu wasikurupuke bila kua na uhakika na kile wanachokiandika. Ni bora ukatafuta zaidi ya chanzo kimoja upate uhakika zaidi kuliko kukurupuka na kuwashutumu wanafunzi kwa kitu ambacho hawajakifanya. Vinginevyo ni bora ukaandika kwamba hiyo ni tetesi.
tukio hilo linasikitisha sana. Pamoja na hayo napenda kumsahihisha aliyeweka thread hii hapa jamvini. Mosi, mwanafunzi ni mwanafunzi bila kujali ana umri gani au yuko mwaka wa ngapi. Mara nyingi mtu akishakua mwanafunzi anaweka umri wake pembeni.
Pili, suala la uhaba wa vyumba vya kusomea sio...
Chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimesema hakiko tayari kukishirikisha chama kilichoko serikalini kwenye kambi ya upinzani. Katibu mkuu wa chama hicho amesema chama hicho cha chadema kiko tayari kuvishirikisha vyama vingine kwenye kambi hiyo endapo vitasitisha uhusiano na chama cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.