Nimepitia thread nyingii humu naona the boss una defend bade n kama hurithishwi na utendaji wa magufuli..nahisi unapersonal interest na bade haiwezekani ukawakila siku unamkingia kifua au unajua container zilipo unaanza kujitetea kupitia jf..mwache raisi apige kazi utajua mwisho wa bodi ya tra...
Huyu ben saanane sijui anaongelea ushabiki na anajua kuwa kuna watu watu ukawa watapatwa na tingatinga. Na mjomba magu akiendelea hivi tanzania mpya ileeeee
Mmoja alisoma st matthews kuanzia 4m 1 hadi 4m 6 baada ya hapo akaenda Ruco iringa kwa sasa anachukua masterz udom na ndio first born anaitwa joseph john pombe magufulii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.