Search results

  1. O

    Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

    Bado nawategemea wakoloni wawafundishe namna ya kuishi. Mna kazi sana nyie wakimbizi wa Tanzania
  2. O

    Majibu ya Membe: Mchango wa Tanzania kutatua mgogoro wa Libya ni Kupitia African union(A.U)

    asingeulizwa sali hivyo msimamo wa nchi usingetolewa? Tena anajifanya hili swali zuri sana nilitarajia niulizwe bungeni, nyambafu kabisa kama alijua ni muhimu kwa nini asizungumze humo humo bungeni ili aulizwe maswali ya nyongeza? MY TAKE: Hadi sasa Tanzania ni bubu kuhusu mambo yote yanayotokea...
  3. O

    Majibu ya Membe: Mchango wa Tanzania kutatua mgogoro wa Libya ni Kupitia African union(A.U)

    Msimamo wa nchi hautolewi kwa kujibu swali la Mwandishi nje ya Bunge! Wewe Mbopo aka Sangara nadhani unatakiwa kuwazia majaliwa yako na ya kazi yako na sio kuleta usharobaro wenu humu.
  4. O

    Majibu ya Membe: Mchango wa Tanzania kutatua mgogoro wa Libya ni Kupitia African union(A.U)

    Bwana Mwambene aka Mbopo ningeshangaa sana kama usingejitokeza kuzungumzia hili. MY TAKE: Waziri wako aache mikogo afahamu majukumu yake Tanzania ina historia na nguvu katika Afrika. Jambo hili mnaanza kulidhalilisha nyie foreign wa siku hizi. Ndio maana vimisaada vidogo vya Gadaf sasa...
  5. O

    CCM ingemtuma Rizwan kuiwakilisha kwenye mdahalo

    Acha hizo wildcard! Cdm ilifunika thts full stop!
  6. O

    CCM ingemtuma Rizwan kuiwakilisha kwenye mdahalo

    Weberoga mwaga vituz! Kumbe huyu dogo ukiacha ukilaza sasa amegeuka bwanyenye? Aisee tunahitaji katiba mpya tufunge hawa wezi
  7. O

    Deudatus Balile Ateuliwa Mhariri Mtendaji wa New Habari Corporation

    Kulikuwa na thread hapa juzi ikieleza kupewa nafasi ya uhariri mkuu kwa Deodatus Balile ambaye ana undugu na Salva Rweyemamu wa Ikulu. Wengi walisikitika mtu huyu kupewa nafasi kwa kuwa walijua magazeti hayo ambayo siku za karibuni yalianza kuchukua mkondo mpya wa kuzungumzia ukweli,kwmba...
  8. O

    MGOGORO: Malumbano ya UVCCM, Viongozi wastaafu na Hatima ya CCM

    JF siku zote tuko mbele! Sumaye kapiga msumari wa moto kwa KJ na mwanae
  9. O

    Lowassa kuwashughulikia UVCCM waliomsema Dodoma

    Haya mpambe wa Ridhwan naona uko kazini
  10. O

    Baada ya JK, Rizwan naye alalama kung'olewa UVCCM

    Linamilikiwa na huyo huyo Rizwan likiwa chini ya mtu wake Pinto na wachangiaji wakubwa ni Salva Rweyemamu ambaye anaelezwa kuwa ndiye aliyetoa wazo la JK awe na gazeti kwa kuwa mengine ameshawakorofisha wamiliki wake hivyo wangewez akumjeruhi wakati wa kampeni 2010. Wanajamvi nadhani nimesaidia...
  11. O

    Kikwete kilimo kwanza, Lowassa elimu kwanza!

    Kama tutabakia na ufupi wa kufikiri kwamba kila jambo zuri linasababisha mtu kuwaza kuwania madaraka bila shaka hata wewe tutasema unawaza safari ya 2015. Hoja aliyotoa ina mantiki maana nani hajui kuwa shule za kata ziliachwa na kutelekezwa kwa kuwa watu fulani walikuwa wakisema unajua shule...
  12. O

    Ufisadi mkubwa Mambo ya Nje: Mradi wa ujenzi Nairobi wasimama

    hakuna cha hoja hapa naona mmeanza kudanganya umma kwa kudhani watu hawajui hapa MFAIC kuna nini, yaani fedha zetu na muda wa umma ndio mnatumia kujisafisha hapa. Tunataka ifahamike wazi kuwa CDM tunatazama sana wizi ama matumizi ya fedha za umma kusakia madaraka. Subiri Dk wa ukweli ashike nchi...
  13. O

    Ufisadi mkubwa Mambo ya Nje: Mradi wa ujenzi Nairobi wasimama

    siwaachi hata kidogo maana inauma sana kama sasa hali iko hivi Membe naona ana vijana tayari ametangaza 2015 hapo juu
  14. O

    Ufisadi mkubwa Mambo ya Nje: Mradi wa ujenzi Nairobi wasimama

    Mkuu hii ni kwa kuwa inakamata maslahi ya kampeni ya Waziri, wanakuja hapa kumtetea yeye in person na sio taasisi. Wanatoa sasa info za wizara kumsafisha wakati anatumia miradi hii kukusanya fedha kwa ajili ya kampeni zake badala ya kusaidia nchi. Period huo ndio ukweli mkuu oyoyoo nimesema
  15. O

    Ufisadi mkubwa Mambo ya Nje: Mradi wa ujenzi Nairobi wasimama

    Msije kusema oyoyooo sijarudi hapa, naona kabisa mkuu Salaam unatoa nondo za ofisini humu kujibu hoja? Lakini ninavyoshangaa umejikita kumtetea Membe wakati hoja iliyopo ni ya wizara, ama Salaama ni Membe maana sitaki kuamini kama ni Mwambene mnayemtaja yule ambaye ameshindwa ku upload hata...
  16. O

    Ufisadi mkubwa Mambo ya Nje: Mradi wa ujenzi Nairobi wasimama

    Yaani mzee mzima Kubenea ndani ya hii thread, naanza kuwaza kitu hapa, ndugu salaama wewe ni Hassy Mwambene spin wa Membe? Msiseme mkuu oyoyoo sikusema, wala msiseme oyoyoo anachonga sana but naanza kuhisi kitu kufuatia hii thread ya TANleaks. Kuna jambo maana salaama umejitahidi kumtetea Membe...
  17. O

    Ufisadi mkubwa Mambo ya Nje: Mradi wa ujenzi Nairobi wasimama

    Hapo ndipo mzee TANLeaks unatakiwa kutufahamisha zaidi? Kwamba mradi huu ulikuwa unajengwa na Wizara? Sijui uhusika wa NSSF na PPF? Pia hoja ya mabalozi wetu wa nchi hizo na pia mradi wenyewe ulilenga kuwekeza katika nini? Nitapita kukupa senksi kwa kuw anajua kazi hii unayofanya ni ngumu na kubwa.
  18. O

    Lowassa au Mwandosya kuwa Rais wa Tanzania 2015?

    Eli watasema mkuu oyoyoo ametumwa, watasema mkuu oyoyoo amejulia wapi, watasema oyoyooo si mtu wa watu lakini hapo kwenye red mkuu Anord napita kukupa thenksi
  19. O

    Ziara ya dr. Bilal (Mbeya) yadoda

    Kiongozi kuwa na busara na heshima nadhani hufai kuwa mtanzania kama unazarau wazee? Kijana huna nizamu hata kidogo mheshimu kwa umri wake na mafanikio ambayo amekuzidi
  20. O

    Lowassa au Mwandosya kuwa Rais wa Tanzania 2015?

    Kamanda unaweza kumjua mgonjw akwa kumtazama bila shaka nawe unaweza kuanza kutoa tiba ya maajabu. suala la uchaguzi ndani ya CCM tuwaachie CCM wataleta mgombea wao na sio wetu kisha tutawashindanisha. Akija EL bila shaka kazi itakuwa kubwa na tusijidanganye maana ana rekodi ambayo wakati huo...
Back
Top Bottom