Search results

  1. comson

    Kauli za Rais Magufuli zinajichanganya, lazima kuna tatizo mahali

    Exactly... many of them (like him) they think poverty is badge of honour.... they embrace poverty as a good thing... kauli ya zitto inamata sana...
  2. comson

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Ujanja kupata... ujanja bila kupata ni sawa na bure
  3. comson

    Chondechonde Rais wangu Magufuli, hili ni jaribu kuu kwako!

    Nitajie wenyeviti wa taifa CDM tangia kimeanzishwa
  4. comson

    Muungano wa Madaktari wa Kenya, wawakataa Madaktari wa Tanzania

    Ina maana hajui kinachoendelea Kenya... ana sifa za kijinga sanaaa Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
  5. comson

    RC Makonda agoma kuzungumzia kughushi vyeti

    [emoji23][emoji23][emoji23]hapo ni kosa la udanganyifu... na sidhan kama itakuwa kweli huyo jamaa atapona
  6. comson

    MSAADA WADAU WA TEKNOLOJIA

    msaada plz... nna lenovo tablet PC idea Tab A3000-H ninahitaji USb cable yake.... nikitumia cable nyingine niconnect kwenye PC device haionekani..... pia mnisaidie namna ya kuinstall OS.... kama itawezekana
  7. comson

    Maalim Seif Sharif Hamad: Msome hapa ujifunze jambo

    yanayotendeka ni proof tosha....
  8. comson

    CHADEMA na UKAWA kuweni wazi kuwa mnatetea mafisadi na si mnapigania demokrasia

    Ningesahisha hii thread ningempa marks 2 za kuandika maneno kwa ufasaha na kuipanga vizuri... Ila kuhusu hoja ni sifuri
  9. comson

    Kwanini mamlaka hizi zimeacha familia ya Rais idhalilike

    Hiki sio kitu kidogo kabisa kwa Raisi.....
  10. comson

    Kwanini mamlaka hizi zimeacha familia ya Rais idhalilike

    Sasa kipi hapo cha kutolewa ufafanuzi na inaonekana wazi kuwa ni mwanae na ni kilaza.....
  11. comson

    Mawaziri na Wabunge mizigo CHADEMA hadharani

    hoja ipi za watu kujikita......
  12. comson

    Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

    kaka wewe ni kiongozi..... na imani hutoterereka hata hapo baadaye
  13. comson

    Hongera Serikali kwa makato ya mishahara ya Waalimu

    toa ushahidi kama walimu walifeli..... halafu weka na ufaulu wako hapa..
  14. comson

    Vijana Katoliki(Viwawa) Fuateni Kauli ya TEC si ya Pengo.

    Father Kulwa ni muelewa sana.... Lazima atakuwa na sababu za kutosha.... He was very intellectual
  15. comson

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    me mwalimu wa Manyara Mbulu nakaa dongobeshi naomba kubadilishana na mwalimu kutoka ilemela / nyamagana mwanza. au moshi vijijini au moshi mjini... idara sekondari.... 0685530613 au wasap 0718278465.
  16. comson

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    eeeh... yamekuwa haya tena... wakati wanapitisha na wewe ulikuwepo....?? na ni kanisa gani...!? acha upumbavu wewe mjinga
  17. comson

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    mahakama ya kadhi... ni mahakama ambayo minafuata sharia za Mussa.... na katika ulimwengu huu haiwezi kukubalika moja kwa moja kwa sababu... she ria nyinghi za kipindi kile zilikuwa against human rights... me nadhani waislamu wajitahidi kupambana kujenga baraza lao ambalo litakuwa...
  18. comson

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    sio kila cha uingereza na Italy ni kizuri aiseeeh.....
Back
Top Bottom