Leo nakuja tofauti kabisa na nilivozoeleka, naomba sana msaada wa ufafanuzi juu ya hii ndoto niliyoota leo na nimeamka bado imekisonga sana kichwa changu...... kwny uzao upande wa mama yangu walikuwa 6, wanaume wawili ambao ni wajomba zangu na wanawake wanne ambao ni mama zangu wakubwa kwa maana...
Habarini za wakati huu washikadau wenzangu wa kilinge chetu hiki kilichotukuka....... nisianze na mambo mengi sana acha niende moja kwa moja kwny mada, siku ya mei mosi yule mheshimiwa niliyegegeda mke wake aliniita tukaongea mambo meeeengi sana lakini ghafla akawa serious na kuanza kuniambia...
Shetani ana nguvu sana jamani tuacheni ubishi kuhusu hili jambo, maana kanizidi tena ujanja hatimaye yule mwanamke nimemgegeda...... niliwahi kuwasimulia kisa cha yule mke wa mheshimiwa mmoja hivi ambae niligundua kupitia kwa wife kwamba hana furaha kabisa ma ndoa yake..... na nikafahamu zaidi...
Jamani nchi hii ma stress yamekuwa mengi sana hadi unaweza kujikuta unataman kufanya ambacho haukutamani kufanya..... maana tunasikia mara huyu anauza sembe mwingine unaambiwa kaitwa polisi kwenda kuhojiwa mara yule wa kutoka kolomojie anatumia vyeti vya mtu mwingine...... hatujakaa sawa...
Habarini za kwaresima wana Jf wenzangu, naamini kwa uwezo wa Mungu maisha yanasonga ivo ivo tu japo kiugumu ugumu, sitaki nipoteze muda na nafasi kubwa ngoja niende kwny mada moja kwa moja.
Miezi kadhaa iliyopita niliwahi kuleta uzi hapa nikielezea namna nilivopendwa na binti mmoja mwenye...
Yani siku nikilala bila kugegedana na wife lazima siku hiyo niote nagegeda mwanamke..... tena cha kushangaza zaidi mara zote mwanamke ninaeota namgegeda ni member mwenzetu humuhumu Jf lakini sijui huwa ni nani na hata ID yake ya humu siifahamu ,
wazoefu wa hayo madubwasha huwa wanasema kwamba...
Habarini za wakati kama huu wadau wenzangu wa uwanja Wetu huu pendwa, naomba niseme wazi kwamba uzi huu cjauweka hapa ili kukashifu imani ya mtu yeyote, kwa hiyo kwa atakaekwazika anisamehe tu maana hakuna namna.
Naomba ushauri juu ya huyu mke wa mdogo wangu, kipindi cha nyuma (akiwa tyr ni...
Kama mtakumbuka nilwahi kuwaambia ya kwamba kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 nilikuwa miongoni mwa wajumbe wa kamati ya ushindi ya mheshimiwa mmoja hivi ambae alishinda na hatimae mzee wa matabasamu akampa u~naibu waziri wa wizara flani, pia mwaka 2015 nilikuwa na nafasi hiyo hiyo na yule...
Habarini za siku nyingi wapendwa wadau wenzangu wa kilinge chetu hiki kilichotukuka, naomba niwatakieni heri na baraka nyingi sana za mwaka mpya wa 2017, nilikuwa nje kdg ya ulingo huu kwa sababu mbalimbali za kimajukumu japo nilikuwa nachungulia humu kila nilipopata ka nafac..... nawashukuru...
Habarini za j3 ILIYOTUKUKA waheshimiwa sana wana jamvi,nashangaa hii siku watu wanaiita eti blue Monday hata sijui kwanini haikuwa red Monday, black Monday au green Monday.....ok hata ivo hilo sio lililonileta kwa dharula hapa jukwaani.....
Kumekuwa na ongezeko la watu wanauvumbua miti...
Michezo hiyo huwa ni sarakasi ikihusisha kujikunja na kujikunjua kwa staili mbali mbali na nyingine zikiwa za kuogofya zaidi,lakini kali kuliko zote ambayo inafanywa na wanawake wanaocheza huo mchezo na ambayo imefanya nijiulize sana ni suala hili la kupiga MISAMBA ILIYOTUKUKA.......jinsi...
Wadau na wananzengo poleni sana na mikikimikiki ya kuendelea kuzungusha gurudumu la #hapa kazi tu, kwa kweli kwa cku nyingi nimekuwa nawaangalia sana hawa wachunga kondoo wa bwana huko madhabahuni jinsi wanavyokuwa wapole......kuwaangalia huko kukafanya nigeukie upande wa pili kwa kujiuliza...
Inaitwa shule ya msingi Kamlenga, ipo kata ya Sibwesa kijiji cha Sibwesa huko Mpanda Katavi, ina wanafunzi wa darasa la kwanza na la pili wanaofikia takribani 230 na mwalimu mmoja.
Kila mzazi hulazimika kuchanga sh 1000 kwa mwezi kwa kila mwanafunzi ili ipatikane pesa ya mshahara/posho ya...
Habarini za j2 ndg zangu wapendwa, natumaini tuko poa tunamalizia mapumziko ya mwisho wa wiki huku tukianza kujiandaa kwa kesho kuendelea kuviringishana na hili gurudumu la #hapa kazi tu........imebidi niwashirikishe wadau kwny haka ka utafiti kangu kasiko rasmi,kwa hiyo kwny utafiti huu na...
Hizi ni tetesi,uvumi, uzushi au vyovyote mtu atakavyoliita hili jambo, mi sina uhakika nalo lakini nimelisikia likiongelewa sana eti ni kweli kwamba hawa ndugu zetu waislam wanawake wanapokwenda msikitini huwa hawavai ch*pi?
Na kama ni kweli hebu mnijibu kuwa ni kwanini hawavai na je wakivaa...
Asalaam aleykum kwa ndg zangu mnaoendelea na mfungo.......nisiwachoshe sana kwa blah blah nyingi, zamani kdg enzi zile kweli nikiwa super general Galadudu......shababi na hendisamu kweli kweli nilikuwa naminyana kimalovee na mwanadada mmoja aliyekuwa ni mzuri kwa kweli na nilifanikiwa kumpachika...
Juzi alhamisi nilikuwa na wife super market tukifanya manunuzi ya hapa na pale.....sasa ktk zunguka zunguka mle ndani tukakutana na mwanamke mmoja mi nafahamiana nae lakini hawafahamiani na wife.... ki umri amenizidi kdg lakini kutokana na maisha yake kuwa ni mazuri basi hata na yeye alikuwa...
J'mosi iliyopita tulialikwa
kwny sherehe ya haruc ya mdogo wa rafiki yangu aliyeamua kwa hiyari yake mwnyw tena bila kulazimishwa na mtu.......kuachana na kile chama cha TABU ( Tanzania Bachelor's Union ) na akaamua kujiunga na chama chetu cha TAMU ( Tanzania Married Union )
Kwny sherehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.