Habari Wanajamvi!
Wacha niende Moja kwa Moja kwenye Maada yangu.
Nina shida ya kifedha, hivyo nalazimika kuuza friji yangu aina ya frigo.
Glass(650Ltrs)nimeitumia miezi mitano tu, kwamaana hiyo Bado ni mpya na iko kwenye hali nzuri.
Bei ni Tshs 650,000/=
Kwa mawasiliano nicheki 0745 493961
Habar zenu wana Jamvi
Kama kichwa cha uzi hapo juu,Nimepotelewa na lain yangu ya uwakala na kuna pesa ndan yake nashindwa nifanyeje ili niirudishe.
Kwa wenye uelewa tafadhar nipeni mwanga.
Note:Hiyo lain nilinunua kwa mtu hivo nyaraka zake sina maana(Haikua na Jina langu).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.