Nimejifunza kitu. ila nina swali kwenu wakuu je wa huku mikoani mbona hizi huduma sizioni kabisa. mpaka leo kuna makampuni fulani bado wanaunga bando za line.. ni kwamba watoa huduma huku mikoani wamepatelekeza
mkuu nisaidie hapo inakaaje ilo
Hapa hatujazungumzia date outing maana izo unaweza enda na baadae kila mtu akarudi alipotoka. alichosemea mkuu ni kwamba kumpa mtu hela ili upate utelezi hiyo ndio sawa na nikaunga mkono hoja. date outing pale ni kama refrement kati yenu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.