Habari wana jamii forum
Natanguliza shukrani za dhati mbele yenu, ningependa kupata msaada kidogo juu ya hilli
Nimetumiwa meseji kwa njia ya email inayohusu kwenda kufanya ushahili kwa nafasi niliyo omba ambayo ni FIELD EDUCATOR SUPERVISOR
Kampuni inaitwa DKT INTERNATIONAL LTD under Willow...
Naitaji nyumba ya kupanga yenye sifa zifuatazo
Location== Kimara/mbezi ya tegeta
Chumba ni kimoja kiwe na
Choo ndani
Maji ya kutosha
Kiwe kikubwa
Gypsum but not necessary
Tiles
Kisiwe mbali saana na main road
Usalama wa kutosha
kisiwe na mauza uza(NB)
Habari wana jf wenzangu??, heri ya sikukuu ya eid kwa waislamu wenzetu.
Kuna tatizo linanitatiza kidogo kuanzia leo usiku ambalo limempata mke wangu
Mke wangu ni mjamzito wa mwezi mmoja, kuanzia jana kila tukifanya tendo hutokwa na damu kiasi hali ambayo hupelekea uume wangu kutapakaa damu...
Wadau nimeskia kuna taasisi inaitwa vicoba saccos saving inajihusisha na kuwasaidia wajasiliamali kuwapa mikopo ya riba nafuu na dhamana yake ni.ndogo pia(ela)
ila naskia wanatoa kupitia online system sasa ningependa kujua ni kwel?? Au isije kuwa waongo nisaidie wadau juu ya hili jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.