Nyerere alisema hatumchagui mtu asiyeamini Mungu. Marekani dollar imeandikwa in God we trust. Kwa hiyo wimbo wa taifa unamtambua Mungu muumba mbingu na nchi. Hao miungu wengine ni shughuli yako mwenyewe
Ni vizuri wamchukie wengine, kwa sababu hata yesu alichukiwa na hata sasa wapo wanaemchukia, ndio maana alisema'ole wenu ninyi ikiwa watu wote watawanena vizuri'
Afadhali wewe yaani mimi nilikarimiwa kama mtoto mchanga, naamshwa napewa chupa ya maziwa, maji moto, tabasamu bashasha, hugs , mi siku zote huimisi rwanda. One thing hata ukipata mwanamke huko love her , but be very strong in heart
Walioongea kwa utaratibu walitufaa nini? Hotuba zake hazieleweki kwa mafisadi, lakini mi nazienjoy kichizi. Yaani zote tatu zipo kwenye Simu.we kama uelewi ni shughuli yako, labda hamko level moja, Yule ni dkt, lazima upanue akili ili umwelewe. Amesema anasema ukweli, na ninafurahi kuzijua siri...
Sio wabunge wanapenda kuonekana live, sisi wananchi tunapenda tuone vipindi vya bunge, hata wakisema wananchi wachangie kurusha bunge buku buku, mi nitachangia
Naona mzee anaomba million 35 kwenye TV, wahindi wamezuia maiti india. Sasa taaluma ya udaktari ni ileile ndio maana alifia huko. Kuna tiba gani India msiyoweza nyinyi? Yanatuabisha mambo haya, tufanyeni wenyewe
Mtu akikuambia wewe si mwanaume, ukavua suruali na chupi hadharani ili kuonyesha umwanaume haikuongezei chochote , elekezaneni, yote tuliyakuta tukasimuliwa, pia tutayaacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.