Search results

  1. Rwamuhuru

    Chuo kikuu kipya cha kilimo Katavi, ni haraka mno

    Looking for something to say 2015.........no priorities these days, its just a matter of "what something physical and attractive" watakachotudanganya nacho kwenye next election
  2. Rwamuhuru

    International Street Children Day...12th April

    shirika la Consortium for Street Children lenye makao yake makuu UK pamoja na mashirika mengine ya kupigania haki za watoto mitaani, limeitaka Umoja wa Mataifa kuitenga tarehe 12/04 ya kila mwaka kama siku ya mtoto wa mitaani duniani.. Kwa mara ya kwanza siku hiyo itaadhimishwa kesho trh 12/04...
  3. Rwamuhuru

    Dr.kitine yanaweza kumpata yaliompata kolimba?

    nilimwangalia nikapata picha moja; NI MZALENDO WA KWELI NA MWENYE UCHUNGU NA MWELEKEO, SI WA CHAMA TU, BALI NA NCHI
  4. Rwamuhuru

    Tanzanian Women of Achievement 2011 Decorated; We see huge Women advancement!!!

    Personally namfahamu huyo mama Namba 10, Zainab Ansell, she deserve na company yake ya Zara inafanya mambo makubwa sana kwenye Tourism Industry.....Hope itamu-inspire to do the best zaidi Congrats Zainab and Keep it Up
  5. Rwamuhuru

    Maandamano nguvu ya chadema au umma wa chadema?

    ..ingekuwa ccm ingeitwa umma wa watanzania!..njaa haihamasishwi na kama CCM mtapuuzia kwa madai ya uCHADEMA iko siku...
  6. Rwamuhuru

    Kama mimi ningekuwa kiongozi wa cdm ningefanyia nini 90 millions?

    ni ushauri mzuri na wa kijamaa zaidi. mabepari wa zama hizi watathubutu kweli? anyway, hope wamekupata maana wapo humu
  7. Rwamuhuru

    Msando vipi tena

    mkuu sio swala la ubishi. swala ni sheria na taratibu kukiukwa. ule wkt wa kuitika hata kama hujaitwa kisa hofu umepita
  8. Rwamuhuru

    Show ya Lema vs Pinda featuring Makinda

    ngeleja anaambiwa alidanganya wana nyang"wale umeme 2009 kwa kupitisha malori ya tanesco bila umeme
  9. Rwamuhuru

    Elections 2010 MBOWE atamuweza HAMAD RASHID?

    charityboy humfahamu vizuri mbowe....sit down and watch
  10. Rwamuhuru

    Madiwani wa CHADEMA Arusha wamfukuza mkurugenzi wa TAMISEMI

    katika msuguano huu utekelezaji wa majukumu yao kwa wananch unawezekana kwa kias gani? hl ndilo la msingi zaidi ya yote
  11. Rwamuhuru

    Baraza la mawaziri la kikwete - so far!!!

    hv akina Mulugo nao mawazr? me nmebak na majna yao as MPs. they are enjoying their sleep kwenye AC za magari
  12. Rwamuhuru

    Tbc vp?

    mgao wa dowans huo
  13. Rwamuhuru

    Matokeo ya Kibonde yabandikwa UDSM

    hahahahaahhaaa....*aombe usajili MEMKWA aanze moja safi UDSM, Kb sio std yenu ku-argue nae huyu. mpuuzieni
  14. Rwamuhuru

    Waziri kawambwa akwaa kisiki udsm---mgomo unaendelea

    waliwapuuza october. wakaona hoja za wasomi ni nyepesi na za kipuuz. acha na wao wapuuzwe kwa hoja na majibu yao mepesi
  15. Rwamuhuru

    Kila ninayeongea nae anamlaumu kikwete. Hao asilimia 61 waliompigia kura wapo wapi?

    wengi ni hao hao unaokutana nao ila wanajidai tu kuwa hawakumpigia kura
  16. Rwamuhuru

    CDM,Wanaharakati, wanavyuo tuacheni CCM tujadili mgombea wetu 2015 tafadhali

    kwa hoja ya LOWASA na kama ndie peee mliebaki nae basi ktk kpnd cha maisha yake sasa CCM kimeishiwa vibaya
  17. Rwamuhuru

    CDM,Wanaharakati, wanavyuo tuacheni CCM tujadili mgombea wetu 2015 tafadhali

    ..RAHISI 2015.. mbona unaogopa mbawa zako mwenyewe? Rais wa CCM au TZ mpk acjadliwe na wengne? eti LOWASA????
  18. Rwamuhuru

    Msaidieni huyu..wanaume tu

    time heals mshaur atulie kwa sasa, wt tme he'l fnd hmself falling in love again. ASILAZIMISHE kwa kigezo cha umri kwenda
  19. Rwamuhuru

    Tujadili Kiukweli (Wanaume tu)

    pole bro.mkeo anapaswa kuacha uvivu wa kijiga. msaidie kufahamu anawajibu wa kutekeleza ili kutunza ndoa yake
Back
Top Bottom