Looking for something to say 2015.........no priorities these days, its just a matter of "what something physical and attractive" watakachotudanganya nacho kwenye next election
shirika la Consortium for Street Children lenye makao yake makuu UK pamoja na mashirika mengine ya kupigania haki za watoto mitaani, limeitaka Umoja wa Mataifa kuitenga tarehe 12/04 ya kila mwaka kama siku ya mtoto wa mitaani duniani..
Kwa mara ya kwanza siku hiyo itaadhimishwa kesho trh 12/04...
Personally namfahamu huyo mama Namba 10, Zainab Ansell, she deserve na company yake ya Zara inafanya mambo makubwa sana kwenye Tourism Industry.....Hope itamu-inspire to do the best zaidi
Congrats Zainab and Keep it Up
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.