Nafahamu hilo la katibu tawala wilaya kama mfungisha ndoa ila nataka kujua upande wa mwanamke je ni vibali gani anatakiwa awe navyo kabla ya kufunga ukiachana na vibali vya kuishi nchini(ambavyo anavyo).
Habari wanajamii, kuna rafiki yangu (raia wa Tanzania anataka kufunga ndoa na mpenzi wake ni raia wa Marekani anayeishi nchini kwa kufuata taratibu zote . Hivyo nahitaji kufahamu ni taratibu zipi afuate ili aweze kufunga naye ndoa ya kiserikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.