Huo nintazamo na mawazo yako ila Mimi ninafikiri kuua nateja sio suluhisho kwakuwa utakuwa utakuwa unatumia matokeo badala ya chanzo cha tatizo.wauzaji ndio chanzo cha tatizo na hao ndio wakupigwa shaba.
Hugo Zakaria ninani ambaye hasikii vyombo vya dola wala viongozi wa ke kiroho?ninaimani kuwa hapa kuna viongozi wengi was seriksli na watalichukulia hatua.
Kweli unachukulia kawaida matumizi ya shilingi 4000000 kwa usiku mmoja?pesa za walipakodi maskini ambao hawajui kuwa watakunywanini asubuhi,watakula nini mchana na jioni?alafu wengine waseme kuwa nipesa ya kawaida?kuna kila sababu ya kuwepo kwa hospitali nyingi aina ya mirembe kwa kila kijiji.
Tunakua maskini kwa kuendekeza cv za zawatu lakini wanachokifanya nikinyume na cv zao!tunataka watumie yale walio jifunza kwenye vyuo hivyo mnavyo vii bora katika kuisaidia jamii na hao ndo watakua wasomi wa ukweli.
Kama alikufa kweli kwanini walimzika kwa kificho huko baharini?marekani inavyopenda sifa,dunia yote ingeshuhudia kama angekufa kweli na dunia yote ingeshuhudia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.