Habari wana jamii wenzangu naomba msaada kuhusu hizi emails za immigrants huwa ni issue za kweli maana huwa nataka kulipia hizo form lakini nasita mwenye kujua anifahamishe. Nataka kuhama Nchi
Habari wana JF. Kwa wale wenye sherehe za harusi, kitchen party, send off na shughuli yoyote inayohitaji card za mialiko na michango Bluebird Invitations wanazo card mpya nzuri sana zinazoenda na wakati bei zao ni nzuri na kwa yule anayepeleka mteja anapata commission yake bila longo longo...
Ndugu zangu wenye taaluma ya afya ya binadamu, naomba kuulizwa swali dogo tu ambalo limenitatiza kwa muda mrefu sasa bila majibu.
Swali:
Kila ninapokula pilipili au kinywaji cha baridi sana haswa Bia inanipelekea kupata kwikwi, je kuna uhusiano gani ya vitu hivyo tajwa na kwikwi na je kiafya...
Mungu akubariki mno. Nimekuwa nikijiuliza sana siku nyingi mama mmoja muombeaji huko kilombero huombea chumvi unaipikia na kuchanganya na maji ya kunywa nilikuwa sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Rais,
Sisi tuliokuwa wafanyakazi wa Caegostars Ltd ambayo mkurugenzi wake ni Ndg. DIONIZ S.E. MALINZI tunaomba msaada wako utusaidie kupata haki zetu. Ambazo ni kama zifuatazo:-
1. SACCOS:- Tulianzisha Saccos yetu pale kazini lakini kutokana na matumizi yake mabaya ya fedha ofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.