Sasa jana tarehe 21/02/2017 nikaamua kwenda bank physicaly. Kwa kweli nimeamini Tanzania hii watu sio watafiti. Eti wakaniambia niende EWURA ndo huwa wana accounts kama hizi sasa nikawauliza kama wako na accounts hizi kwani wanafungulia wapi si ni Bank???? wakabaki wameniangalia tu sasa walikuwa...
Wadau habari za mihangahiko.
Nimebahatika kusoma kitabu ambacho kinaelezea financial discipline and opportunities nikaona kitu kinaitwa Roth IRA je wewe wakijua??
Baada ya kusoma zaidi nikagundua kuwa ni kiasi cha hela ambacho mtu unaamua kukiwekeza katika mfuko flani wa pensiion au taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.