Nauza ardhi eka 4.5 nina shida ya hela ya haraka nauza kwa bei ya hasara milioni 9. Eneo liko jirani na shule ya private, barabara zinapitika. Mwenye kuhitaji tuwasiliane inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni kweli hata mimi limenikuta unakuwa na boss elimu hana, hawezi kusoma document ya kimombo na kuelewa, hawezi kujenga hoja, hawezi kuandika taarifa nzuri, hawezi kutumia computer kila kitu unafanya wewe lakini anakuminya ili usionekane abaki yeye tu ndo staa. Akiona bado unavuma anaanza...
Kufanikisha kuwakamata inaweza kuwa nje ya uwezo wake make nafikiri unakumbuka walichomjibu polisi alipowaambia wawakamate watu wanne waliomuua mwanaharakati Wayne Lotter
Kila mtanzania pasina shaka anafahamu anachokifanya Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Hamis Kigwangallah kwa jinsi anavyoitafuna mifupa iliyowashinda mawaziri wengi waliopita kwenye wizara yake. Kwa mtazamo wa wengi huyu ndiye waziri anayewajibika na kuendana na kasi ya mh. rais pengine kuliko...
Nilimtongoza dada mmoja akanikubalia kwa sharti la kwamba atanipa mchezo akinizoea lakini baadae akaanza kuniambia ana bikra, kusikia hivyo nikampiga chini fasta sipendagi ujinga mimi. Nimeshakutana na wanawake wengi wanaojifanya bikra unahangaika nae wewee unamuhudumia kwa kuamini mwishoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.