TOKEA MJ MDOGO LALAGO KWAKWELO MZEE NAMWELEWA SANA KWANI HUWEZI KUMZALAU MTU KWA KUMWANGALIA MAVAZI ,WONEKANO WAKE KWAHIO HAPO KAONYESHA DHAHILI MAWE ANAYO
Sent from my SM-T211 using JamiiForums mobile app
kwakweli usimzalau usiemjua kwani mzee wamembeza zwakutosha natumaini mikia watavwata na zalau itaisha mzee nimemuelewa sana
Sent from my SM-T211 using JamiiForums mobile app
kwani mzazi ndo aliopiga gali lake hapo amekosea kwa kumpiga mzazi kwani huo n unyasaji kabisa kwakuwa wewe nikiongozi angalia na upande wa ubinandamu huluma lazima iwepo sawa ilihalibiwa ila hapo ilikua kufanya ushilikiano na mzazi wa mtoto huyo ili kuyamaliza matatizo kama hayo
kwakweli kunakitu cha kujifunza kwani inauma sana kwa wafanyakazi waliofukuzwa kwahi kunawengine walikua tayali wakokalibu kustafu lakini ndo hivo je wafanyaje serikali hapo inapaswa iwangalienjiocho la huluma sana
kwakweli amefanya jambo abao haijawahi tokea hapa ichini tukiwa tunaona matifa mengine nasi hapa tanzania kwakweli hapo haki haipo ila tusimame kitete ili kukabiliana tu
nda tanzaniza imekuwa tatizo mana sahivi kilakona madawa ya kulevya tunaoba tuungane kwa pamonja na hili njanga la madawa ya kulevya ili tulitokomeze na ibaki histolia mana ndo yaibu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.