Duh yaan Mie hapa ni shida tupu.hiv kwel hawa loan bodi watatoa kweli mkopo kwa walio appeal. Maake ni mda sasa tangu tume appeal. Jaman tukumbuken mapema watt wa kimaskin tunaumia wenzenu
Pole sna ndugu.mimi mwenyewe hapa cjui nielekee wapi na nifanye nini.maana tangu tume appeal hakuna fununu yoyote ya majibu yetu.Tuhurumien bodi ya mikopo mtushughulikie haraka mtupe majibu yetu mapema ili tujue kama tunaacha chuo ama la.
Mie nilivyo ni kwamba wanachuo wite wa mwaka wa kwanza watalupiwa mkopo bubila kujali vigezo.uwe umemaliza mwaka 47elfu yaan miaka mitatu nyuma utapata mkopo.naomba watuwaishie huo mkopo ili tusajiriwe mapema.pia namshukuru makufuri kwa kuliona hilo.mungu ambaliki make ningeshindwa kusoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.