habari za saa hizi waungwana najua huku nakutana na wasomi wengi nilikua naomba kujua kama kuna aliyesoma Malawi level yeyoye tuwasiliane kuna mambo mengi ningetaka tuongee na tushauriane pia ni msaada naomba kwa waungwana wenzangu watanzania wenye moyo wa upendo
habari za saa hizi waungwana
Nina simu ya Huawei memory yake ya ndani ni ndogo sana sasa nimekuwa niki download apps na kuziweka kwenye memory card lakin baada ya muda memory card zinakuwa hazisomi tena nimejaribu kama memory card tatu tofauti na zote zimekufa kwahiyo nilikua naomba kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.