Kwanza naanza Ku clear interest mi ni team ukawa. Ila Magufuli namuunga mkono kwa hili jambo la NIDA, Jana ndio nimepata kitambulisho pale mikocheni kwa warioba. Kwa kifu vitambulisho vimechukuwa muda mrefu sana kutoka. Pili hivi vitambulisho vya ovyo sana, yaani kitambulisho kina majina matatu...
Kwa nyie msio kunywa mnamuona ticha kama kituko. lkn kwa si wanywaji kukojoa karibu na gari wala sio issue kanisa, yaani unamshoot mlevi mwenzio kisa kakojoa karibu na gari yako kweli?, pumbufu kabisa Huyo jamaa akitoka jela tunamnyang'anya leseni ya unywaji na kumiliki bastola
Ni kweli, nilijichanganya mwishoni nikajiunga na makundi mabovu hatimae ni kachemsha ila niliumia sana, lkn mwanzoni nilikuwa napasua sana pamoja na kuchora. Nimekula sana vichori na ice cream kwa kuwachorea ramani mabinti hasa jiografia
Asprin Achaean kunuu watu vibaya, hujaambiwa kuwa ili upate ajira lzm ujifunze kichina. Soma tena nilichokiandiki, usikurupuke tu, halafu eti elimu elimu elimu.Sasa kwa hapo ninani anahitaji elimu kama sio wewe?
Mmenikera tena sana, nyinye ndio wasomi vyeti, ujue kusoma kitu kingine na uelewa jambo lingine. Na ndio maana hii nchi ina mambo ya ajabu utadhani hakuna alieenda shule. Ni kwa kuwa tuna wosomi-vyeti ambao hawana tija kwa taiga hili.
Ujue mi nasikitika sana kuona watu mnaponda watu wasijifunze lugha zingine muhimu duniani. Hivi watu wakijifunza vitu muhimu vingine kuna hasara gani? Mimi kwa uelewa wangu na elimu yangu ya la saba nijuavyo ni kuwa kujifunza/ kupata ujuzi hakuna hasara isipokuwa kinyume chake, yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.