Usimzuie, mpe nafasi, ongea nae tu hata mara 10 kwa siku, ni mkeo na we ndo faraja yake pia ni ishara ya kuwa anakupenda na muaminifu, ingekuwa kuna mwanaume mwingine anakuwa nae we ukiwa safari basi usingeona akikusumbua sana katika simu. Usiwape nafasi vidume wengine yaani usifanye atafute...
Kwa kauli yako unathibitisha ule msemo wetu wa wanaume kuwa "tusioe mwanamke mwenye mtoto" dada kwa hakika mahusiano ya sasa/ndoa yako kama ushafunga haiko salama. Unaruhusu vipi mazoea ya kijinga hayo, inaonyesha nawe pia unapenda akuzoee hivyo, ila tambua kuwa unajishusha utu wako na ex wako...
Mkuu hapo ni kuwa bado hujampata wa kumpenda kwa shida na raha, hao wote uliokutana nao unawatamani tu, ipo siku utampata umpendae kwa dhati. Lakini pia acha hiyo tabia kwani magonjwa ni mengi na kumtumia mdada na kumuacha jua unamuachia majeraha ktk moyo wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.