kuna demu namjua anaendesha FUSO TANDAM banaban nilipewa LIFT na hiyo gari tok IFAKARA kuja
mimi nikashuka tu MIKUMI nikasema nimeairisha safari nikmuacha akafe peke yake
kuna mademu wamepinda mkuu nilikuwa nsiki tu sifa zake akija na fuso lake mtaani enzi hizo DAR
Yaan ungejua hizi gari zinavosaidia na siku ambayo wakiamua wasiingize mtaani wakifanya msako kutokana na wambea km nyinyi jinsi tunavyopata tabu ya USAFIRI ungeiiambie kwanza SERIKALI yako SIKIVU itengeneze hizo barabara kwa kiwango cha lami kwanza
halafu uone km kutakuwa na gari chakavu...
mimi nilikuwa ile ya kina kawale FARIDA chozi nk kwa ticha MAIKO pale CCM UJIJI tulikuwa na kina ROGERS wa shule ya kisiwani na wenzake ila kuna nyingne ya mr. k alikuwa anakaa kwa MZEE DIZAMIRE pale msikiti wa malamala karibu na luku ila yeye alikuwa anajua sana MATH
niambrieeee hiyo sio ya watoto wa vingunguti hao timbereeeeend kwa kina makala hiyo mdogo wake mamaasakina na mshikaji fulani hivi mdau sana wa twanga
kiyaiyai yeye swaga yake ndo hiyo sekunde kumi tu kashataja watu 10 kwa uwiano wa sekunde 1 jamaa noma sana
nakumbuka
MZEE KINESI alikuwa analoga sana kipindi cha pili mpira uvunjike mechi irudiwe aingize ela
nakumbuka Mechi flani ABAJARO na KAGERA kma sikosei mpira suluhu kupiga penart hataki anadai eti muda umeisha giza kumbe ana lolote anataka mechi irudiwe apate ela
ABAJARO watoto wa sinza...
ha ha ha KIZIBO namkumbuka ila alitupita darasa moja wao walianza kumaliza mwaka mmoja mbele class yetu sisi ilikuwa na kina jafar santo fatum kawale ally loko na kina abd ljoh
7A tulikuwa class moja mkuu yaan wewe na SHUNIE tunafahamiana vizuri tu coz shunie na AMINA RAMDHANI (R.I.P) na H KISTU Walikuwa wanasoma darasa moja na DADAANGU ila hizi ID tu jamani tunatukanana kumbe ni wamoja
ticha mbogolo maarifa jamii alikuwa haandiki ubaoni anatusomea tu yaan
MSIMBE...
mwembechai timu yako ilikuwa ipi KAGERA RANGERA au MESSINA ya mtaa kondoa
kombe la kinesi hiyo
fainali kagera na messina penart ya mwisho tunaangalia nje ya uzio wa mabati maana lazima ngumi zilike
MAMAANGU mdogo alikuwa anakaa NYUMA ya gholofa kongwe so nilikuwa nakuja sana magomeni weekend...
halafu we muhenga mwenzangu km unamjua CSTO tulikuwa wote enzi za nzile tuiton ya AL CAEDA mtihani wa la saba tunafanya chini ya ulinzi wa polisi na mtutu
we utakuwa ni wa enzi ya Class ya kina A lijoh F kawle. H sadallah.
J sembja(bonge) J sato kina chozi M kabali dadamkuu ZENA E PANTALEO...
wale washkjai ilikuwa noma ikitokea Mtemi mwingne wanataka wapigane nae saa ya kutoka mnazunguka nyuma kule uwanjani shule nzima tunaamia uwanjani kuangalia NGUMI kipindi hicho geti lilikuwa linatumika la mbele pekee lile linaloangalia njia ya kwenda ujiji
ticha mpogolo dah
huyu ticha anaeuza...
mshana juzi tulivyokuwa kibaha tulimuongelea huyu hatukujua km kashavuta kumbe
gari yake anaipiga service mwenyewe kaipaki kibaraxani kwake anaipiga jeki na ovaroli anazamchini
ana mikogo balaa
shunie kumbe mtoto wa mwananyama enzi ya NDEKA nakupa list lazima hawa maticha lazima...
we mjingawao
hii ni KINONDONI na ina wenyewe na wenyewe ndo sisi tumezaliwa MWANANYAMALA HOSPTARI na sisi hatuna mpango na CCM na kamwe hatuchaigaua na ni kawaida yetu tunalinda kura hata ije mvua ya Radiation ya nyukilia
Lione jingalao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.