Kama vitu vya muhimu like mkaa, unga, mchele, mafuta, sukari....vipo ndani, si unainjika maharage tu mnayala mchana kwa ugali na usiku kwa wali na tikiti maji la jero!
Ama ugali dagaa mchana, usiku unaongezea tembele au mchicha wa 500 mnakula tena ugali na vidagaa vilivyobaki mchana.
Life...
Angalau za kupandia bodaboda ziwepo sio lazima za uber.
Mwanaume akiwa hana hela kudeal nae ni ngumu sana. Unaweza ukawa unacheka na comments za jf akakwambia unamcheka yeye! Au ukachelewa kujibu sms/call ukaambiwa..."naona siku hizi unanidharau kwa kuwa sina hela..."
Hizi attitudes wengi ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.