Search results

  1. D

    kipimio cha VVU/HIV

    habari zenu wanandugu, hivi katika kupima,baada ya kufanya tendo la ndoa inachukua muda gani mpaka kipimo kigundue kuwa damu yako imeathirika(HIV positive).
  2. D

    Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

    Habari zenu wanajamii, Kama kuna mtu anafahamu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa naomba tushee utaalam ili nijue faida ya biashara hiyona hasara ya na vitu vinavyotakiwa kuanzia wanapopatikana hao ng'ombe na bei wanazouzia,soko la maziwa na tahadhari zake...naomba msaada wenu tafadhari
  3. D

    Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

    Habari zenu wanajamvini, Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, sasa kidogo biashara yangu imepanuka, nahitaji mashine ndogo ya kutotoleshea vifaranga. Naomba mnisaidie bei na mahali zinapopatikana, nitashukuru kwa msaada wenu. --------------------
  4. D

    bei ya kiwanja

    Za saa hizi waungwana,nataka kuanzisha mradi wa kuku,nimeshauriwa kibaha panafaa,je kiwanja heka moja ntapata kwa bei gani?
Back
Top Bottom