Ninashindwa kuelewa kwanini viongozi na wanachama wa Klabu ya Simba hawajaiona dosari ya Nembo ya klabu ya Simba kutokuwa Na Jina la nchi ya Tanzania.Nembo ni alama ya klabu na inatakiwa kuwe na vielelezo vitakavyokuwa vinaitambulisha klabu hiyo.Klabu ya Simba imekuwa inashiriki mashindano...
Mh.Rais Magufuli sisi Watanzania Tunakupongeza kwa kukomesha safari za Nje ya Nchi kwa Watendaji Wa Serikali ya watu masikini.Manispaa ya Kinondoni ni Halmashauri ambayo inaongoza kwa Madiwani Na Watendaji wake Kwenda nje ya nchi huku fedha za miradi ya maendeleo zinatumika kwa posho Na safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.