Mkuu kwenye ule uzi wa Edward lowasa alipo kuwa kahama na mimi nilicoment nikawambia hakuna watu wanonko kama kanda ya ziwa, yaani kanda ya ziwa kabisa hapana aisee bora hata uwaelimishe watu wa kanda ya kati labda utapata hata kura 10 kuliko huko kwa ngosha.
Mkuu hizo mbegu nazijua kwa jina simbo hazina sumu yoyote utotoni tulizimeza sana. Labda kama ubishi na matusi ni sehemu ya maisha yako.
Nashangaa sana msomi kama wewe bado unapanic na kutukana hovyo tu, wengine tuko kwenye huu mtandao tukiamini kabisa ni watu wazima na heshima zetu hatuna...
Hawa jirani zetu sasa ni shida,
Mbona madaktari wamegoma hapo lakini hawakufanya hayo maandamo ili kuishinikiza serikali iwalipe wanachotaka, wahadhili wa vyuo wameanza mgomo wao wako kimya tu wanasubiri waandamane kwa ajili marekani!! wanajeshi waliouwawa kule somalia tunasikia ni wengi lakin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.