Sasa si bora Tandu, kuna huyu mdudu anaitwa Washa Washa naweza kukuamkia hata mara 100 ili mradi tu umtoe kwenye macho yangu, Tandu ananitisha kwanza miguu yake ilivyo mingi, uwezo wake wa kung'ata mbele na nyuma, hujakutana na litandu likubwa limekomaa hadi likitembea lina kishindo (nimetia...
Upo sahihi kabisa, huyu ni mimi na shost zangu tukishamaliza ya maana tunaingia kwenye umbea simu ya kazi au familia inaingia lazima nimwambie kata/subiri kwanza nimpokelee fulani, kisha tunaendeleza umbea wetu.
Usinikumbushe siku tumemuona Tandu mie nshapanda dirishani napiga makelele kaja kamtoa na fagio sasa nitoke nimuone alivyombaruza ati nimemuacha aende huwezi jua pengine ana familia, nilichoooooka,
Si unaona hata hawa Rastafarians wana roho ya upendo uliopitiliza, nadhani sababu ya uVegan...
Ana kochi lake tumeweka kitambaa kwa ajili ya manyoya na yeye kupata joto, mtu akikaa kwenye kochi lake atamsukuma na kulia kama ni mtoto na hakuna wakubwa around atamkwarua, yeye anaweza kuja kukaa sehemu zenu ila sio nyie mkakae kwake ni ugomvi [emoji23][emoji119]
Ukija kwangu kweli...
Daah! Pole sana hawajawekewa sumu kweli au kula chemical yoyote? au ni Virus iliwavaa!?maana kama ni ugonjwa wa kawaida haiwezekani wafe kwa mkupuo hivyo
Siwezi kuyabeba maumivu yako Angel pole sana tena sana
Naweza kuacha nyama ya Ng'ombe au Mbuzi ila sio Kuku na Samaki jamani hapo wataniswamehe,
Yeye ameanza uVegan ana miaka mi5 sasa anapenda pia Wanyama ana huruma sana imagine aweza kumuacha Mbu amng'ate hadi atosheke aondoke hataki kumfukuza ati anajitafutia chakula [emoji119] hapo ndio...
Kulikua na ulazima wa kutoa mfano wa mtoto? Ungesema hata mpira tu ingetosha, halafu unahamasisha watu wakajaribu unataka mtoto aliyebebwa na Albino afe au apate madhara?
Thank you, bora nimeiona hii comment maana nilikua nasoma uzi namshangaa mtoa mada, maelezo mareeeeefu kumbe hamjui TID Mnyama na misemo yake
Ndo shida ya kumiliki smartphone uzeeni
Hapana bwana unatakiwa umfundishe angali mdogo, kwenye kujisaidia muwekee chombo kikubwa jaza mchanga muoneshe hapo ndio sehemu yake ya kujisaidia, kwenye chakula hakikisha humpi nyama au samaki wabichi, pika au kaanga ndio umpe ukimzoesha vitu vibichi ndio anakua mwizi, pia hakikisha vyombo...
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-nahitaji-majina-ya-watoto-wa-kike-na-kiume-ya-kiafrika-yasiwe-ya-kizungu-kiarabu-wala-kiswahili.2154826/
Msaada: Nahitaji majina ya watoto wa Kike na Kiume ya Kiafrika, yasiwe ya Kizungu, Kiarabu wala Kiswahili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.