Mambo vipi ndugu zangu,
Nimepewa jukumu la kusimamia lodge yenye PUB pembeni, hii biashara bado mpya ndio kwanza inafunguliwa mwezi ujao, BOSS ananitegemea kwenye kila kitu kuhusi hii biashara, hivy na vitu naomba kuvijua kutoka kwenye familia hii ya JF
1. Wahudumu wa bar hua wanalipwa vipi...
Habari za majukumu ndugu zangu,
Nina wazo la kukopa bank kiasi cha pesa Million 100 kwa ajili kununua mitsubishi canter 2 zenye uwezo wa kubeba tani 3.5 kwa ajili ya biashara ya usafirishaji bidhaa na mizigo.
Mwenye wazo lolote juu ya hili naomba anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.