Naomba kujulishwa kama kuna wanachuo walio hitimu kidato cha 6 miaka 3 iliyopita waliopata mikopo?maana mimi nilimtuma mtu akaambiwa kuwa waliohitimu kidato cha 6,miaka 3 ya nyuma hawakupewa mkopo.sasa sijui lina ukweli kiasi gani.
naomba wadau mnisaidi namna ya kukataa rufaa heslb.pia mtu anatakiwa awe na sifa zipi ili aweze kupewa mkopo.kati waliokosea sikuwemo,lakini pia 1st &2nd lot simo japo chuo nilipata( BAED),kwa sasa nina mzazi mmoja na ninao wategemezi mzee wangu ni mkulima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.