Search results

  1. D

    Je,nani wanastahili mikopo

    Naomba kujulishwa kama kuna wanachuo walio hitimu kidato cha 6 miaka 3 iliyopita waliopata mikopo?maana mimi nilimtuma mtu akaambiwa kuwa waliohitimu kidato cha 6,miaka 3 ya nyuma hawakupewa mkopo.sasa sijui lina ukweli kiasi gani.
  2. D

    Je,bado kuna nafasi open university

    Kwayeyote anayejua kama bado kuna muda na nafasi ya kuomba open anisaidie
  3. D

    Rufaa bodi ya mikopo

    naomba wadau mnisaidi namna ya kukataa rufaa heslb.pia mtu anatakiwa awe na sifa zipi ili aweze kupewa mkopo.kati waliokosea sikuwemo,lakini pia 1st &2nd lot simo japo chuo nilipata( BAED),kwa sasa nina mzazi mmoja na ninao wategemezi mzee wangu ni mkulima.
Back
Top Bottom