Habari,
Kama imeandikwa. Ningetaka kuunda kama society itakayohusu sekta ya ujenzi.
Kwa hiyo ninahitaji partners kwa ajili ya:
- Kupandisha mtaji
- Kutafuta viwanja
- Kutafuta wateja
- Kuajiri wafanyakazi
- Kufanya taratibu zote za serikali.
Kama uko serious na una interest na sekta hiyo nipe...
Habari
Ningetaka kuanzisha biashara ya uuzaji mafuta ya gari
Ninatafuta partner.
Masharti :
Awe na skype, tuzungumze kwa haraka.
Kama hapendi kuandika / Kusoma, sina haja.
Ahsante
As Salaam alaykum
Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga.
Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika.
Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi.
* Tanga
* Mtaji hata mdogo
* Mwaminifu
* Anajua...
As Salaam alaykum
Ninatafuta patner kwenye Kilimo kuwekeza na kufanya kazi nami Tanga.
Tutafikiri pamoja mazao gani yatalipa. Na eneo ya kuuza. Baadae tutafuta shamba na wafanyakazi husika.
Kwa mfupi, ninawatafuta watu na characteristic hizi.
* Tanga
* Mtaji hata mdogo
* Mwaminifu (Muislamu...
Ningetaka kuunda kampuni ndogo ya kujenga nyumba nzuri lakini ya bei sawa kwa ajili ya watu. Lakini ninahitaji skills na watu ambao wana mawazo yale pia.
Ningetaka kufungua ofisi ya architecture (usanifu).
Lakini ninahitaji associates.
Tunahitaji kuwa watatu at least.
Kila mmoja atashughulika na sekta moja.
- wateja
- fedha
- kujenga
- sheria na taifa
Kama nimeandika kwebnye title.
Ninatafuta mwanasheria atakayenisaidia kupata Residence Permit class 'A'.
Mtu mwaminifu atafanya process zote kwa ajili yangu.
Pia nitahitaji dependent pass.
Serious person only. Mtu mwanifu tu.
Ningetaka kufanya duka huko Tanga lakini nina mtaji mdogo ndo maana ninatafuta partner mwenzangu mfanyabiashara kufanya mradi huo nami. Lazima awe mwaminifu.
Kujenga nyumba ya ghorofa 2 Tanga. Inachukua muda gani na pesa ngapi. Ghorofa ya kawaida na ghorofa ya kwanza. Lakini si nyumba ambao wanazozijenga kwa kawaida, kama nyumba huko India au Asia . Nyumba kama hii
As Salaam alaykum ndugu zangu.
Tegemeo langu mko katika hali njema katika mwezi huu mtukufu ya ramadhani.
Mara kwa mara nina fikiri kuwekeza pesa kwenye miradi mbalimbali lakini nina breki kubwa, kwa mfano : kiasi kikubwa ya fedha ; ukosefu wa maarifa juu ya mradi husika nkdlk...
Ninaona kama...
As Salaam alaykum wote
Ninatumai mko kati hali njema bi idni Allahi katika mwezi huu mtukufu wa ramadani.
Mimi ninapenda vitu vyote vya real eastate. Lakini bahati mbaya sioni nchini miradi ya nyumba nzuri na bei nzuri kwa watu.
Kwa mfano mradi kwa matajiri pekee au kwa wageni tu.
Kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.