nashangaa watu wanahangaika weee na ma document makubwa makubwa na wengine wanasema eti ni kampuni ya JK!
wenye Dowans Tanzania mkitaka majina yao nendeni jengo la Ushirika pale Lumumba ofisi za BRELA mtazame MEMARTS mtaona
how hard is that?
Ikishindikana si mumuulize BADRA MASOUD wa...
Jamani magari yaliojazana hapa mjini mengi yalikuwa yanatoka Dubai kisha UK nao watu wakaanza kuingiza na sasa naona watu wanazungumzia kuagiza gari wenyewe direct from Japan
sasa nauliza kama nataka gari kama Rav 4 au Prado au gari tuu yoyote kwa ujumla ni nunue wapi kati ya nchi hizo 3 ...
IN OTHER NEWS:
BOSI WA IT PPF NI MGANDA!!!!
SOMA HAPA
https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/98206-mfuko-wa-ppf-kuna-ufisadi-wizi-na-uzinzi-na-unyanyasaji-wafanyakazi-4.html#post1443151
Naona watu washaanza kushabikia haya mambo ya rule of the junglelakini pamoja na jazba na ushabiki uliopo hebu turudi nyuma na kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Why huo ubomoaji ufanyike usiku wa manane? Wanaogopa nini mchana?
2. Why tibaijuka au ofisi yake haikutoa clarification yoyote on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.