Haya mashindano mengine ni ukiukwaji wa haki za binadamu hata Mungu hapendi kwani kwaye kila mtu ni mzuri thts why akamuumba. By the way the thread made my furahi day!
Mama zetu wengi huingiwa na hofu ya aina ya wakwe zao kwa sababu ya ubinafsi na wakati mwingine ni kweli huwa sahihi ktk jitihada za kuwaokoa vijana wao wasiingie mlango wa kutokea......kwani wengi wao huwaza maisha ya baadae (wanapozeeka) na ikumbukwe kuwa kwa familia za kibantu mtoto wa kiume...
Sasa mbona ukiugua malaria na maladhi mengine unaenda hospitali??? si ukae na imani yako ili usimkufuru Mungu??. Mi nadhani wengine hapa ni lazma mdiscourage watu wenye imani za kweli ili kulinda maslahi yenu kwani mashirika yanayojihusisha na vita juu ya ukimwi yatakua na lipi la kufanya ss...
Wadau naomba kusaidiwa uelewa katika hili. Hivi ni lazima kwa watumishi wote wa serikali, mashirika ya umma na yale yasiyo ya kiserikali kuhifadhi mafao yao katika mfuko wa NSSF?. Na kama si lazima ni taratibu zipi zifuatwe ili kuhamishia mafao yao katika mifuko mingine ya jamii kama PSPF na...
Wanawake tuna mambo ila hilo lako funga kazi!. Nadhani haina hata haja ya kutubu kwa mumeo maana utamuua bure baba wa watu......inaonekana hukumpenda ulipenda mali zake tu....... hustahili kuendelea kuwa kwake u beta run away maana hata yeye an moyo wa nyama
Inanisikitisha sana hali hii kiasi kwamba najiuliza hivi hao wabunge tunaowaita VITI MAALUMU wanafanya nini bungeni km hawawezi kuelezea hali halisi ya mwanamama anapokua mjamzito na wao ni wanawake na wengi wao wana hadi vitukuu.......sioni sababu ya kuwepo viti hivyo kama wanashindwa hata...
Hivi mtu unapoapa mbele ya kanisa/msikiti "kwa shida na raha" huwa ina maanisha nini??. Sikuona sababu ya mwanaume kuomba kuzaa mtoto nje ya ndoa kwani huko ni kumsononesha mwenziwe na ni kinyume na kiapo.Kwangu mimi naona kitendo cha huyo dada kung'ang'ania mwanae ni ka adhabu kadogo Mungu...
- Ni mwanaume
- ni Mtanzania
- Ni Inspekta Generali wa Jeshi la Polisi -Tanzania chini ya wizara ya mambo ya ndani
- Amesoma LLB Chuo kikuu cha Dar es Salaam
- Ameoa na ana watoto
- Katika utendaji wake wa kazi yupo commited
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.