Dawa ya moto ni moto Dada, ukimwi wa kuletewa unaua haraka kuliko wa kutafuta pamoja....kama yeye anavyopata raha akichepuka na Mimi nataka nipate hivyohivyo...
Hahaaaaaaaa.....we chelewachelewa Cku unajikuta una undergo menopause au unazaa vjukuu Kisa unasubiri ndoa....kuolewa n Bahat tukiolewa wote waume za watu watachepuka na nan???
We Dada jipe moyo mkuu mama, hujazaa dunia wewe, heshima pesa mjin hapa komaa tft pesa mambo yatajipa yenyewe, hujamkosea mungu saaana kuliko walioolewa...mi n Cngo mother and am proud of many things but nothing beats than being a mother!!! Watu wanakula mpk mavi ili wazae lkn mi mungu...
------ umelogezewa umalaya wewe... Kila Cku unaleta habari za kishangingu inaelekea umerithi umalaya kwa baba n mama yko ndo maana kila mda unawaza mito@#0
Duuu.....nilipata mshefa mmoja nikampga pesa nikabania mzigo kwa madai tukapme ngoma kwanza nikijua atagoma ndo kwanza kesho yke faster kaja n vpmo ananiambia tupme Anile mzigo n Mimi kupma naogopa balaa maana ukimwi siyo malaria kwamba ntapga mseto nikabaki nambwelambwela tu....mzee akashtukia...
Yaaan mi ndo maana saiz ctaki wanaume mask in maana utambumilia akipata tu atajichetua baalaa bora tajiri hata akinchit huku ananipa hela cyo mbaya saaana
Hapana bhaana inategemeana na MTU na MTU mi x wng ni rafiki yng,kaka yng pia n msaada wng na mshauri wng Wa karibu saaana na hatuna mpango Wa kupasha kiporo...chukulia poa tuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.