Wapendwa tumsifu Yesu Kristu, Assalam Aleikum,
Nina jambo linanisumbua ambalo ni hili.
Nina mpenzi wangu ameniaga anaenda Kigoma kwa kaka yake nikasema sawa, lakinini baada ya kufika Kigoma akapata nafasi ya kwenda Burundi bila kunitaarifu, akakaa wiki na nusu hapatikani.
Jumatatu wiki hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.