Habari za wakati huu wakuu.
Mimi ni kijana muhitimu wa Shahada ya kwanza ya Uhandisi Mitambo(Mechanical Engineering) mwaka 2019 kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT). Naishi Mbagala, Dar es salaam
Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wa kupata sehemu ya kujishikiza (internship, volunteer...
Habari zenu wakuu
Mimi ni miongoni mwa wanafunzi waliochaguliwa NIT kwa mwaka wa masomo 2015/2016 natafuta hostel ambazo zipo nje ya chuo kwa mwenye ufahamu juu ya hilo anisaidie.
Natunguliza shukrani zangu za dhati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.