Nimeleta mkaa gunia 100, hapa dar. gunia lina ujazo wa mbavu mbili almaarufu shanga mbili. ni mkaa mzuri wa mti pori.
Bei ni 45,000 kwa gunia. mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0714 407095
Nina mkaa magunia 130 yenye ujazo wa mbavu mbili(shanga mbili) ambayo ninayauza kwa bei ya jumla, kila gunia ni 45,000. mkaa umetoka kusini. kwa anaehitaji anaweza kunicheki kwa namba hii 0714 407095. Karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.