Habari wana jamii forum naomba msaada wa kujua app inayoweza kutafsiri sauti, mfano nasikiliza voice au short vidio ya kijerman inanitafsiria kiswahili moja kwamoja, naomba mwenye kujua anisaidie.
Habari wana jf. Naomba msaada wa youtube app ambayo sio ya kulipia na haina matangazo.nimetumia vanced siku moja haifanyikazi tena ila ni nzuri haiweki tangazo hata moja.
Habari wana jamii naomba mwenye kujua app nayoweza kudownload nyimbo na hata nikibadili simu nizikute mgano picha kwenye google photo nikibadili simu nazikuta.nataka kwa nyimbo sasa. Maana natumia vidmate na tube mate lakini nikibadili simu naanza kudownload upya.msaada mwenye kujua
Ndugu nazidi kuja kwenu kuomna msaada wa kujua app za bure za kuchat na gpt maana nimeona kule unaweza kuwa na shida ikasaidia kukupa maelekezo. Nilipata moja ya bing nimechat nae kanikatoa mawasiliano gafla afu hataki kuchati tena na mimi
Wanajamii forum nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano. Naomba anaejua app inayoconvert docment iliyopigwa kama picha au pdf kuipeleka kwenye word. Ambayo ni ya bure hailipiwi
Sio matajiri nimejiunga sana kununua hii simu kwanza nilikuwa nalipankwa installment. Naomba tu msaada kujua simu og na fake kwakuwa nimenunua sio mbali na ninapo ishi nairudisha tu nabadilisha maana anazo simu aina zote hizi flagship kama note 10 plus ,ana hiz aseries . naomba jinsi ya kujua...
Zile features zote za samsung hamna iko tu kama infinix afu batton ya kuzima simu haina ukizima inakuletea vitu vingine vingi. Au nimepigwa nimeinunua 700,000. Na omba mwenye njia nyingine jinsi ya kuangalia simu original anisaidie
Habari wadau niliomba ushauri hapa simu ipi bora kati ya samsung galax a 33 au a345g. Nimenunua a345g nimegundua hizi simu za a series ni infinix iliyochangamka. Sijazoea samsung za hivi jamani, sijapenda kabisa. Na ni simu original nimeipima vya vipimo vyote vya bimei, ma sensor sijui. Mliowahi...
Asanteni sana sana j.f nimekuwa nikipata msaada sana katika forum hii.ninapokuwa na jambo linanitatiza kuhusu maswala mazima ya kitevhnolojia nakuja hapa.huwa nataman nilipe ada walau hata 10,000 kea mwaka lkn sijui utaratibu ukoje.najikuta tu naacha.il a jf msaada sana ,
Habari wadau naomba msaada nina badget ya 700k nataka simu nzuri ya samsung .mwanzo nilikuwa natumia samsung note 8 lkn hii inasumbua haikai na charge sana. Ni ipi simu nzuri katika hizo. Hasa kwenywe camera,ram,rom,na vingine mfano android version na kama ina update version.
Habari ya muda huu wadau.
Naomba msaada mwenye kujua , nina simu samsung galax note 8 imetokea tu nachage inajaa nikichomoa kwenye charger inazima nikiweka kwenye chager ikaiwasha inawaka.
Nikichomoa nikawasha haiwaki . Ila imejaa ina asilimia 100. Tatizo linaweza kuwa nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.