Ngoma zake kali sana zinaniburudisha nikiwa kwenye ndinga langu. Muetse,Julie,Helena,Lusa,Nge,Fely,Betty,Alphonsina,Lili,Mayumba nk
Sijui kwa ninj nyimbo zake nyingi ni majina ya wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Medical officer ni kazi... Ila watu wa pcb nadhani huwa wanasomea program za afya ambazo huwa naziskia skia bongo ni medicine(utabibu),pharmacy(madawa) na nursing(uuguzi) kwa degree na diploma ila naamini ziko nyingi zaidi. Me pia nimesoma social sciences haya mambo naskia tu.
Bima ya mkopo hucover kifo tu. Na pia mafao hayatumiki kulipa mkopo wowote wa bank isipokua ile mikopo ambayo mfuko kwa kushirikiana na bank hutoa kama product kwa wanachama wake.
Aliekwambia SSRA ni mfuko wa pensheni ni nani?
Mifuko minne imeunganishwa na kuwa mfuko mmoja. Hayo matawi sijui umeyatoa wapi. Mifuko iliyounganishwa(iliyofutwa) ni PPF,PSPF,LAPF na GEPF na hivyo kuunda PSSSF mbayo itakua ikishughulika na watumishi wa uma na agency zake.
NSSF itakua...
Bima ya mikopo hucover kifo tu. Na ni 1 percent ya mkopo. Muajiri sio mdhamini wa mkopaji pale mwajiri anaposaini fomu ya mkopo ya mfanyakazi anadhibitisha kuwa atapeleka makato kwa wakati na sio kulipa mkopo pale mwajiriwa anapoacha au kufukuzwa kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.