Mwanaume rijari lazima awazie ngono ata akiwa kazini anaweza kufanya kazi akipumzika kidogo anawazia tumbua sababu mwanaume rijar lazima ududu wake usimame kila siku au kila baada ya masaa kazaa
Nduguyangu koradani yake moja kubwa hili ni tatizo gani lilimkuta tatizo ilo tokea akiwa na miaka12 mpaka sasa 22 lakini asikii maumivu wala dosari yeyote ni ugonjwa au ni hari ya kawaida ?
Na tibia yake inakuwa kama ipi maana yeye kama nilivyo kuambia kwamba korodani zimetofautiana kwa ukubwa sasa utibika kwa oparesheni au dawa za kawida maana ni mika sasa anaishi hivyo kwa mazoea na anachukulia kawaida kwakuwa aimlete madhara
Nina rafiki yangu korodani moja kubwa moja ndogo mabadiliko ya koradani zake yalianza toka akiwa mdogo lakini asikii maumivu wala dalili zozote za mabadili swali utakuwa ni ugonjwa au ni hali ya kawaida TU ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.