Hawa jamaa hawakuacha kazi kwa hiari yao ilo ni janga la kufungwa kwa migodi ndo lililopelekea wao kupoteza ajira zao, unapomwambia asubiri miaka 55 mtu anaefanya kazi za mgodini si haki 1.Mazingira ya kazi ni magumu vumbi, fumes, kelele kupita kawaida n.k 2.Hakuna uhakika wa kufanya kazi mpaka...
acha upumbavu na ww hayajakukuta ndio maana, hiyo pesa kabla watu hawajaondolewa kazini NSSF walienda mgodini na kuwaahidi watu kwamba watakaopunguzwa(redundacy) watalipwa pesa yao ndani ya miez 3 maximum b'se no. ya watu ni wengi, lakin ingekuwa inafahamika kwamba hakuna atakayelipwa ucngesikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.